Mkaguzi Msaidizi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Peter Mwambene (kushoto) akiwapatiwa mafunzo ya kinga na tahadhari dhidi ya majanga ya moto watumishi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila, kulia ni Mkaguzi Msaidizi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Elinimo Shang’a.
1