Mhe. Rais Magufuli alizindua jengo la Makao Makuu ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Jijini Dodoma. Jengo hili lenye ghorofa tatu limejengwa kwa gharama ya shilingi Bilioni 2.656 kwa utaratibu wa ‘Force Account’ na ujenzi wake ulioanza Februari 2019 umekamilika Machi 2020.

Share this post on: