Mimi Jovit Jonas Mkazi wa Buhongwa Nyamagana Jijini Mwanza napenda kulipongeza Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kwa kufinikiwa kuzima moto na kufanikiwa kuokoa nyumba yangu
Mimi Athuman Seif Mkazi wa Kitunda Ilala Jijini Dar es Salaam napenda kulipongeza Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kwa kufinikiwa kuzima moto na kufanikiwa kuokoa nyumba yangu