Mimi Jovit Jonas Mkazi wa Buhongwa Nyamagana Jijini Mwanza napenda kulipongeza Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kwa kufinikiwa kuzima moto na kufanikiwa kuokoa nyumba yangu
Napenda kutoa pongezi kwa Jeshi la Zimamoto naUokoaji Ilala kwa kuwahi na kuzima moto kabla ya kuleta madhara makubwa
Mimi Athuman Seif Mkazi wa Kitunda Ilala Jijini Dar es Salaam napenda kulipongeza Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kwa kufinikiwa kuzima moto na kufanikiwa kuokoa nyumba yangu
RECENT COMMENTS